Kadinali George Pell ashtakiwa Australia kwa kuwanyanyasa watoto kingono
Page 1 of 1
Kadinali George Pell ashtakiwa Australia kwa kuwanyanyasa watoto kingono
"Polisi nchini Australia imemshitaki kadinali wa kanisa katholiki mwenye ushawishi mkubwa George Pell, kwa makosa kadhaa ya kuwanyanyasa watoto kingono." —(BBC 29 Juni 2017)
Hata hivyo Kadinali Pell alikataa kwamba hakufanya kitendo hicho, lakini Australia kuna kesi nyingi za makasi wanaonyanyasa watoto kingono, na mashitaka ya Pell yanaweza kuwa ni kweli ingawa yeye anakata ili kujisafisha jina lake.
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|